Back to home

Watu watano wafariki katika ajali ya barabarani Webuye–Malaba

video
C
Citizen TV (Youtube)
June 10, 2026
2h ago
Watu watano walifariki na wengine kujeruhiwa usiku wa kuamkia Jumatano kufuatia ajali ya barabarani iliyotokea eneo la Makotelo kwenye barabara ya Webuye–Malaba. Ajali hiyo ilitokea baada ya matatu waliyokuwa wakisafiria kutoka Nairobi kugongana ana kwa ana na lori la mizigo li
Advertisement