Back to home
Wanabodaboda kupewa mafunzo ya usalama barabarani katika kaunti ya Mombasa
video
C
Citizen TV (Youtube)June 4, 2026
2h ago
Serikali ya kaunti ya Mombasa yataka wahudumu wa bodaboda kuwa wavumilivu wanapojipanga kutekeleza mkataba walioweka baina yao na serikali ya kaunti.
Advertisement
Advertisement



