Back to home
Familia ya Mombasa yamsaka jamaa aliyetoweka
video
C
Citizen TV (Youtube)July 22, 2026
2h ago
Familia moja mjini Mombasa inamtafuta jamaa yao aliyetoweka wiki mbili zilizopita.
John Njiraini hajaonekana tangu tarehe 30 Juni baada ya kutoka kazini mwendo wa saa tatu usiku. Licha ya familia kuripoti katika vituo kadhaa vya polisi, hadi sasa hajapatikana.
Advertisement
Advertisement



