Back to home
Mombasa: Washukiwa wa ulanguzi wa mihadarati wakamatwa wakitaka kuondoka nchini kuelekea Dubai
video
N
NTV Kenya (Youtube)July 21, 2026
3h ago
Mshukiwa mmoja wa ulanguzi wa mihadarati huko Mombasa, amelazimika kuendesha dawa za kulevya alizokuwa amemeza. Polisi wanasema mshukiwa ni miongoni mwa walanguzi wengine ambao wametiwa mbaroni
Subscribe and watch NTV Kenya live for latest Kenyan news today and everyday as told
Advertisement
Advertisement



