Back to home
Wafugaji wa ng'ombe wa maziwa wapewa matangi ya maziwa kaunti ya Taita Taveta
video
C
Citizen TV (Youtube)June 5, 2026
2h ago
Ni afueni kwa wakulima mia sita eneo bunge la Wundanyi kaunti ya Taita Taveta baada ya kupokea matanki yenye uwezo wa kubeba lita elfu saba ya kuhufadhi maziwa kutoka kwa wizara ya kilimo nchini.
Advertisement
Advertisement





