Back to home
Athari za vita kati ya Marekani na Iran kwa biashara na uchumi wa Kenya | Mduara
video
N
NTV Kenya (Youtube)March 5, 2026
3h ago
Kenya huenda ikaathirika pakubwa ikiwa vita vya Ghuba vitaendelea. Hofu kubwa kwa sasa ni kupanda kwa bei ya mafuta.
Kwenye #MduaraNTV Waziri wa Uwekezaji, Biashara na Viwanda, Lee Kinyanjui atatufafanulia zaidi athari za vita hivi kwa biashara na uchumi wa nchi.
Subscribe to N
Advertisement
Advertisement




