Back to home
Rais William Ruto atia saini sheria ya hazina ya miundomsingi ya KSh.5T
video
C
Citizen TV (Youtube)March 9, 2026
1h ago
Rais William Ruto ametia saini kuwa sheria mswada wa miundo msingi ya kitaifa, itakayotoa mwongozo wa kukusanya shilingi trilioni 5, zitakazofadhili miradi mikuu ya serikali nchini. Akizungumza baada ya kutia saini sheria hiyo, Rais Ruto amesema mradi wa kwanza utakaofadhiliwa ku
Advertisement
Advertisement

