Back to home
Wakulima wa kahawa wapewa miche Mukurwe-ini, Nyeri
video
C
Citizen TV (Youtube)March 11, 2026
1h ago
Wakulima wa kahawa nchini wamehimizwa kutopanda mibuni maeneo yaliyokuwa na misitu, kama njia ya kuwahakikishia soko la bidhaa hiyo ulaya, kufuatia kanuni za ununuzi wa kahawa zilizopitishwa na muungano wa mataifa ya EU.
Ombi hili limetolewa na muungano wa wakulima wa kahawa wa N
Advertisement
Advertisement


