Back to home
Viongozi wa bonde la Kerio watakiwa kuhubiri amani
video
C
Citizen TV (Youtube)March 11, 2026
1h ago
Tume ya kitaifa ya uwiano na utangamano NCIC imewataka wanasiasa katika eneo la Bonde la Kerio kuwa mstari wa mbele kuhubiri amani miongoni mwa jamii zinazoishi katika maeneo ya mipakani. Tume hiyo imesisitiza kuwa viongozi wa kisiasa wanapaswa kukwepa matamshi ya chuki na badala
Advertisement
Advertisement





