Back to home

Ole Sapit wa ACK awataka viongozi kupunguza siasa

video
C
Citizen TV (Youtube)
February 16, 2026
1w ago
Viongozi wa makanisa sasa wanawataka wanasiasa kutuliza kelele za siasa na badala yake kuwahudumia wakenya. Askofu mkuu wa kanisa la Kianglikana nchini Jackson Ole Sapit, akisema nyuzi joto za sasa zinazidi kupanda, zaidi ya mwaka mmoja unusu kabla ya uchaguzi mkuu. Naye Askofu M
Advertisement