Back to home
Wakenya zaidi wafa Urusi
video
C
Citizen TV (Youtube)March 11, 2026
4h ago
Familia zaidi zimeendelea kujitokeza kuelezea namna jamaa zao walivyouawa au kupotea baada ya kusafiri kuelekea nchini Urusi kwa ajira. Vijana wapatao 15 kutoka vijiji kadhaa vya eneo la Transmara wakiwa kati ya wale walioondoka nchini kupigana vita vya urusi na hadi leo hawajuli
Advertisement
Advertisement




