Back to home
Familia za waliosombwa na mafuriko zadai fidia
video
C
Citizen TV (Youtube)March 11, 2026
2h ago
Baadhi ya familia za waathiriwa wa mafuriko sasa zinadai kulipwa fidia, zikitilia shaka ahadi ya serikali kugharamia mazishi ya jamaa zao. Familia hizi zilizofika katika hifadhi ya maiti ya City ambako uchunguzi wa maiti ulifanyika zikiilaumu serikali kwa kushindwa kulinda maisha
Advertisement
Advertisement



