Back to home

Wito watolewa kwa serikali kuimarisha afya ya akili ya maafisa wa usalama

video
C
Citizen TV (Youtube)
April 30, 2026
2h ago
Serikali imetakiwa kuipa kipaumbele afya ya akili ya maafisa wa usalama ili kukabiliana na ongezeko la visa vya ukatili wa kijinsia vinavyohusisha walinda usalama.
Advertisement