Back to home
Wito watolewa kwa serikali kuimarisha afya ya akili ya maafisa wa usalama
video
C
Citizen TV (Youtube)April 30, 2026
2h ago
Serikali imetakiwa kuipa kipaumbele afya ya akili ya maafisa wa usalama ili kukabiliana na ongezeko la visa vya ukatili wa kijinsia vinavyohusisha walinda usalama.
Advertisement
Advertisement





