Back to home
Mbadi awaomba Wakenya kumpa Rais Ruto nafasi kuimarisha uchumi
video
C
Citizen TV (Youtube)April 30, 2026
2h ago
Waziri wa Hazina ya Kitaifa, John Mbadi, sasa anawataka Wakenya kumpa nafasi Rais William Ruto kuimarisha uchumi, akisema marais waliomtangulia hawakuwa na changamoto kama anazozipitia. Mbadi, aliyezungumza na runinga ya Citizen, alisema ukame ulioshuhudiwa mwaka uliopita pamoja
Advertisement
Advertisement





