Back to home

Wakulima Trans Nzoia wahofia kuchelewa kwa mbolea

video
C
Citizen TV (Youtube)
March 11, 2026
1d ago
Wakulima katika kaunti ya Trans Nzoia wanalalamikia uhaba wa mbolea huku msimu wa upanzi ukiwa tayari umeanza. Katika kaunti ya Trans Nzoia, wakulima wamekuwa wakipiga kambi nje ya ofisi za bodi ya nafaka na mazao ya NCPB kutaka maelezo kuhusu ni lini watapata mbolea ili kuwaweze
Advertisement