Back to home
Shirika la haki la Marekani laikosoa Kenya kwa kutoa pasipoti kwa RSF
video
C
Citizen TV (Youtube)March 11, 2026
1w ago
Shirika Moja la haki za kibinadamu la Marekani sasa limejiunga na viongozi, na wananchi wanaozidi kuuliza masuali na kuishtumu serikali kuhusiana na sakata ya utoaji wa pasipoti za kenya kwa watu wanaohusishwa na ukiukaji mkubwa wa haki za kibinadamu nchini Sudan. Shirika hilo li
Advertisement
Advertisement


