Back to home
Kati ya ajenda kumi kuu katika makubaliano ya UDA na ODM ni chache tu zilitimizwa, nyingi zikipuuzwa
video
N
NTV Kenya (Youtube)March 11, 2026
3h ago
Zaidi ya mwaka mmoja sasa baada ya makubaliano kati ya vyama vya UDA na ODM kuhusu ajenda kumi kuu za kuliokoa taifa, inadhihirika kuwa ni chache tu zilizotimizwa, huku nyingi zikipuuzwa na serikali ya Rais William Ruto.
Subscribe to NTV Kenya channel for latest Kenyan news toda
Advertisement
Advertisement



