Back to home
Mradi wa kawi kufaidi miradi ya maji kaunti za Kilifi na Mombasa
video
C
Citizen TV (Youtube)March 12, 2026
1h ago
Licha ya madeni yanayosababisha uhaba wa maji katika kaunti za pwani, huenda wakazi wakapata afueni katika kaunti za Kilifi na Mombasa, kutokana na mradi wa nishati ya Jua inaolenga kupunguza gharama ya nguvu za umeme.
Mradi huo unaoshirikisha Mamlaka ya kusambaza Maji Pwani Coas
Advertisement
Advertisement




