Back to home

Bungoma: Wakenya watakiwa kufanya vipimo ya mapema kudhibiti ongezeko la magonjwa ya figo

video
N
NTV Kenya (Youtube)
March 12, 2026
2h ago
Kenya inapojiunga na ulimwengu kuadhimisha Siku ya Figo, wito umetolewa kwa Wakenya kujitokeza na kufanyiwa vipimo vya afya ili kubaini hali yao kama mojawapo ya njia za kuthibiti ongezeko la magonjwa yanayoambatanishwa na figo. Subscribe to NTV Kenya channel for latest Kenyan n
Advertisement