Back to home

Bonde la Kerio: wanaharakati waonya dhidi ya semi za chuki zinazoweza kuchochea vita vya kikabila

video
N
NTV Kenya (Youtube)
March 12, 2026
4h ago
Semi za wanasiasa, viongozi na vyombo vya habari katika eneo lenye utata la Bonde la Kerio ni chanzo za uhasama na utovu wa usalama katika eneo hilo. Haya ni kwa mujibu wa washikadau wa amani ambao wamewataka viongozi wa kisiasa kukoma kutumia semi za chuki zinazoweza kuchochea
Advertisement