Back to home

Mahakama Kuu yasitisha faini za trafiki za kielektroniki, madereva wapata afueni

video
C
Citizen TV (Youtube)
March 12, 2026
2h ago
Ni afueni kwa madereva nchini baada ya Mahakama Kuu kutoa amri ya muda ya kusitisha utekelezwaji wa faini za hapo kwa hapo za trafiki zinazotolewa kupitia mfumo wa kielektroniki.
Advertisement