Back to home

Rais Ruto amteua Jaji Njoki Ndung'u kuwa mgombea wa Kenya katika uchaguzi wa majaji wa ICC

video
N
NTV Kenya (Youtube)
March 12, 2026
2h ago
Rais William Ruto amemteua Jaji wa Mahakama ya Juu Njoki Ndung'u kuwa mgombea wa Kenya katika uchaguzi wa majaji wa Mahakama ya Kimataifa kuhusu makosa ya jinai, ICC, huko the Hague. Subscribe to NTV Kenya channel for latest Kenyan news today and everyday. Get the Kenya news upd
Advertisement