Back to home
Wizara ya afya yawataka wazazi kuchunga watoto wao dhidi ya mihadarati
video
C
Citizen TV (Youtube)March 13, 2026
2h ago
Wizara ya afya imetoa tahathari kwa wazazi kuchunguza mienendo ya watoto wao ili kukabilina na utumizi wa dawa za kulevya, ikisema hulka hii imesambaa sana na inachochewa pakubwa na mabadiliko ya mitindo.
Advertisement
Advertisement





