Back to home
Raphael Tuju afurushwa kwa nguvu katika mali yake Karen
video
C
Citizen TV (Youtube)March 14, 2026
2h ago
Waziri wa zamani Raphael Tuju alifurushwa kwa nguvu na maafisa wa polisi usiku wa kuamkia Jumamosi kutoka katika eneo la biashara la Dari mtaani Karen, Nairobi. Tukio hilo linahusishwa na mzozo wa kisheria kuhusu mnada wa mali yake kutokana na deni la mkopo wa shilingi bilioni 2.
Advertisement
Advertisement




