Back to home
Upinzani wakosoa ubinafsishaji
video
C
Citizen TV (Youtube)March 15, 2026
3h ago
Vinara wa upinzani wamemtaka rais William Ruto kuwaeleza wakenya ukweli kuhusu ubinafsishaji wa mashirika ya serikali, wakidai Rais ana njama ya kunufaika na fedha za umma kupitia mauzo hayo. Wakizungumza kaunti ya Murang'a, viongozi hao Kalonzo Musyoka, Rigathi Gachagua na Eugen
Advertisement
Advertisement




