Back to home
Upinzani wazidi kukosoa serikali
video
C
Citizen TV (Youtube)March 16, 2026
2h ago
Vinara wa upinzani wanamtaka rais William Ruto kuwaeleza wakenya ukweli kuhusu ubinafsishaji wa mashirika ya serikali, wakidai Rais ana njama ya kunufaika na fedha za umma kupitia mauzo hayo. Wakizungumza kaunti ya Murang'a, viongozi hao Kalonzo Musyoka, Rigathi Gachagua na Eugen
Advertisement
Advertisement




