Back to home

Upinzani wazidi kukosoa serikali

video
C
Citizen TV (Youtube)
March 16, 2026
2h ago
Vinara wa upinzani wanamtaka rais William Ruto kuwaeleza wakenya ukweli kuhusu ubinafsishaji wa mashirika ya serikali, wakidai Rais ana njama ya kunufaika na fedha za umma kupitia mauzo hayo. Wakizungumza kaunti ya Murang'a, viongozi hao Kalonzo Musyoka, Rigathi Gachagua na Eugen
Advertisement