Back to home
Viongozi wa Taita Taveta watumia michezo kuhamasisha umma kuhusu dawa za kulevya
video
C
Citizen TV (Youtube)March 16, 2026
2h ago
Kuna haja kwa viongozi wa ngazi ya kaunti kuangazia zaidi ukuzaji wa talanta hasa kwa vijana chini ya umri wa miaka 16 kwani hatua hiyo itasaidia kuimarisha talanta zao.
Hiyo ni kauli ya mwelekezi wa kiufundi wa FKF, Francis Kimanzi, akizungumza mjini Voi kaunti ya Taita Taveta
Advertisement
Advertisement




