Back to home
Wakulima washauriwa kutumia mashine katika kilimo
video
C
Citizen TV (Youtube)March 16, 2026
2h ago
Serikali ya Kenya imepewa changamoto ya kuwekeza zaidi katika mashine za kilimo kama njia ya wazi ya kuongeza mavuno ya kilimo na kujitosheleza katika uzalishaji wa chakula.
Kulingana na watafiti, lazima kuwe na tofauti kati ya matumizi ya mbinu za zamani na zile mpya ambazo kwa
Advertisement
Advertisement




