Back to home
Baadhi ya wabunge wa linda mwananchi kususia mkutano wa ODM
video
C
Citizen TV (Youtube)March 18, 2026
2h ago
Mbunge wa Saboti Caleb Amisi anasema yeye pamoja na wenzake katika mrengo wa Linda Wananchi hawatahudhuria mkutano wa kitaifa wa wajumbe wa ODM unaotarajiwa kufanyika tarehe 27 mwezi huu. Amisi amedai kuwa mkutano huo unakiuka katiba ya chama, akisisitiza kuwa ni lazima uitishwe
Advertisement
Advertisement





