Back to home

Bungoma: Zaidi ya familia 150 zilizoathirika na mafuriko zapokea msaada kutoka Shirika la Red Cross

video
N
NTV Kenya (Youtube)
March 17, 2026
2h ago
Zaidi ya familia 150 kutoka vijiji vya Chesiywo, Kapkrong na Kimama katika Wadi ya Chesikaki, eneobunge la Mlima Elgon, Kaunti ya Bungoma, zilizoathirika na mafuriko yaliyotokana na mvua kubwa inayoendelea kunyesha nchini, zimepokea msaada wa bidhaa muhimu kutoka kwa Shirika la M
Advertisement