Back to home
Idadi ya waliofariki kwenye mafuriko nchini yafika 71 huku mvua kubwa ikitarajiwa kuanzia Alhamisi -
video
C
Citizen TV (Youtube)March 18, 2026
2h ago
Idadi ya watu waliofariki kufuatia mafuriko yanayoshuhudia nchini imefikia 71 baada ya watu watano zaidi kufariki Nairobi, mashariki na Pwani. Haya yanajiri huku idara ya hali ya anga ikisema mvua kubwa inatarajiwa kuanzia alhamisi hii hadi Jumatatu. Idara hiyo imeongeza baadhi y
Advertisement
Advertisement




