Back to home

Wito wa kutimuliwa kwa Rais Ruto waendelea kushika kasi kufuatia matamshi yake yaliyoibua utata

video
N
NTV Kenya (Youtube)
March 18, 2026
1h ago
Wito wa kutimuliwa kwa Rais William Ruto unaendelea kushika kasi kufuatia matamshi yake ya hivi karibuni yaliyoibua utata. Makundi ya kijamii pamoja na baadhi ya viongozi wa upinzani wamekosoa vikali matamshi hayo, wakiyataja kuwa yasiyostahili hadhi ya urais, ya kudhalilisha na
Advertisement