Back to home
Polisi 215 warudi nchini kutoka Haiti wakiongozwa na Inspekta Jenerali
video
C
Citizen TV (Youtube)March 18, 2026
2h ago
Maafisa 215 wa polisi walioondoka nchini kuelekea Haiti kwa ujumbe wa kimataifa wa kurejesha usalama nchini humo wamerejea kenya baada ya kukamilisha kazi yao. Wakiandamana na inspekta Jenerali Douglas Kanja aliyesafiri Haiti kukutana na viongozi wa taifa hilo, kikosi hiki ni cha
Advertisement
Advertisement




