Back to home

Nchi 15 za bara Afrika watazamiwa kushiriki katika michuano ya gofu ya vijana Afrika

video
N
NTV Kenya (Youtube)
March 18, 2026
2h ago
Nchi 15 za bara Afrika, wakiwemo wenyeji Kenya, wanatazamiwa kushiriki katika michuano ya mwaka huu ya timu ya vijana ya Afrika inayotarajiwa kufanyika jijini Nairobi katika Klabu ya Gofu ya Windsor kuanzia tarehe 23 hadi 26 mwezi Machi. Subscribe and watch NTV Kenya live for la
Advertisement