Back to home

Vyuo vikuu vya umma vina madeni ya zaidi ya Sh100b

video
C
Citizen TV (Youtube)
March 18, 2026
2h ago
Vyuo vikuu vya umma nchini sasa vinakabiliwa na madeni ya zaidi ya bilioni 100 yanayotatiza shughuli zake. Katibu wa elimu ya juu Daktari Beatrice Inyangala ameiambia bunge kuwa madeni haya yamekaba koo taasisi hizi za elimu ya juu huku wabunge wakitaka majibu kuhusu ni kwa nini
Advertisement