Back to home

Mbunge wa Kajiado Kaskazini Ngogoyo akemea matumizi ya matamshi ya kikabila katika siasa

video
C
Citizen TV (Youtube)
July 28, 2026
1h ago
Onesmus Ngogoyo amewataka viongozi kuacha kutumia matamshi ya kikabila katika siasa, akisema wananchi wanaodhalilishwa watapata fursa ya kutoa uamuzi wao kupitia kura katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2027.
Advertisement