Back to home

Mzozo waibuka baina ya familia mbili juu ya mwili wa marehemu Saumu Luvuno

video
C
Citizen TV (Youtube)
March 19, 2026
2h ago
Mzozo umeibuka kati ya familia mbili kuhusu mwanamke aliyeaga dunia na mwili wake kudaiwa kuondolewa kwenye makafani kinyume cha sheria. Saumu Luvuno alifariki tarehe 7 na mwili wake kuhifadhiwa makadara ila familia inadai kuwa mwili wake ulihamishwa na mumewe wa zamani hadi maka
Advertisement