Back to home

Familia yapewa fidia na KWS baada ya mwana wao kuumwa na nyoka

video
C
Citizen TV (Youtube)
March 16, 2026
2h ago
Imekuwa ni afueni kubwa na faraja kwa familia moja katika kijiji cha Katanin, Kaunti ya Nandi, baada ya kupokea fidia kutoka kwa Shirika la huduma kwa Wanyamapori (KWS) ya kifo cha mwana wao kilichotokea miaka kumi iliyopita baada ya kuumwa na nyoka. Akizungumza wakati wa hafla y
Advertisement