Back to home
Familia zafika makafani ya City kuitambua miili ya wapendwa wao baada ya maafa ya mafuriko
video
C
Citizen TV (Youtube)March 8, 2026
1d ago
Familia kadhaa zilifika katika makafani ya city kutambua maiti za jamaa zao walioangamia kufuatia mafuriko makali yaliyoshuhudiwa siku ya Ijumaa hapa nairobi. Kufikia sasa familia 15 zimetambua maiti huku baadhi ya familia pia zikiendelea kuwatafuta jamaa zao wanaohofiwa kusombwa
Advertisement
Advertisement





