Back to home
Familia zafika makafani ya City kuitambua miili ya waathiriwa wa mafuriko
video
C
Citizen TV (Youtube)March 9, 2026
11h ago
Familia kadhaa zilifika katika makafani ya City siku ya Jumapili kutambua maiti za jamaa zao walioangamia kufuatia mafuriko makali yaliyoshuhudiwa siku ya ijumaa hapa Nairobi. Kufikia sasa familia 15 zimetambua maiti huku baadhi ya familia pia zikiendelea kuwatafuta jamaa zao wan
Advertisement
Advertisement





