Back to home

Serikali ya Sakaja yalaumiwa kwa maafa na mafuriko

video
C
Citizen TV (Youtube)
March 8, 2026
1d ago
Wanasiasa wa Kundi la ODM la Linda Mwananchi wameendelea kushutumu kaunti ya Nairobi kwa utendakazi wake katika kudhibiti mafuriko yaliyosababisha vifo vya watu 26 jijini pekee. Wakiongozwa na katibu mkuu wa ODM Edwin Sifuna, wanasiasa hawa pia wametaka viongozi wenza wa ODM kuhe
Advertisement