Back to home
Riziki Yangu: Tabitha Achieng atumia mabaki ya vitambaa wanasesere mikoba na mapambo ya nyumba
video
N
NTV Kenya (Youtube)July 14, 2026
1h ago
Katika mtaa wa Adams jijini Nairobi, Tabitha Achieng ameamua kuona thamani mahali ambapo wengi huona taka. Kutokana na vipande hivyo vya vitambaa, ameanzisha biashara inayotengeneza doll (wanasesere), mikoba na mapambo ya nyumba yanayovutia wateja wa ndani na hata wa kimataifa.
Advertisement
Advertisement





