Back to home

Serikali yaongeza muda wa ushuru wa mafuta, yatenga Sh900 milioni za ruzuku

video
C
Citizen TV (Youtube)
July 14, 2026
1h ago
Serikali imetangaza kuongezwa kwa muda wa utekelezwa kwa nyongeza ya ushuru wa asilimia 8 kwa bidhaa za mafuta ya petroli hadi Okotoba mwaka huu. Aidha, serikali pia imetangaza mipango ya kutoa ruzuku ya ziada ya zaidi ya shillingi millioni 900 ili kuendelea kudumisha bei ya sasa
Advertisement