Back to home

Idadi ya waliofariki kwenye mafuriko yafika 43

video
C
Citizen TV (Youtube)
March 9, 2026
11h ago
Idadi ya watu waliofariki kutokana na mafuriko makubwa yaliyoshuhudiwa nchini Ijumaa jioni imefikia watu 43. Shirika la msalaba mwekundu likiripoti idadi hii huku mvua kubwa ikiendelea kusababisha uharibifu katika maeneo kadhaa nchini. Katika baadhi ya maeneo ya hapa jijini nairo
Advertisement