Back to home
Serikali yawasaidia waathiriwa wa mafuriko Tana Delta
video
C
Citizen TV (Youtube)June 17, 2026
2h ago
Katibu wa Idara ya maswala Maalum, Ismail Maalim, atembelea vijiji vya Kitere na Samicha katika eneo la Garsen, Kaunti ya Tana River akiongoza usambazaji wa misaada kwa familia zilizoathiriwa na mafuriko.
Advertisement
Advertisement





