Back to home

Serikali ya Laikipia yaahidi kuwasaidia waathiriwa wa moto sokoni Nanyuki

video
C
Citizen TV (Youtube)
May 27, 2026
2h ago
Serikali ya Kaunti ya Laikipia imeahidi kutoa msaada wa haraka kwa wafanyabiashara walioathiriwa na moto wa hivi majuzi katika Soko Jipya la Nanyuki. Akizungumza mjini Nanyuki, gavana wa Laikipia Joshua Irungu alitoa ahadi hizo baada ya kukutana na wafanyabiashara walioathirika i
Advertisement