Back to home
Wataalamu washauri wakenya kupanda mboga za kiasili
video
C
Citizen TV (Youtube)May 27, 2026
2h ago
Wataalamu wa afya wanawataka wakulima kote nchini kuwekeza katika kilimo cha mboga za kiasili ili kujipatia mapato ya haraka pamoja na kuimarisha afya ya jamii kutokana na uwepo wa madini muhimu yanayopatikana katika mboga hizo. Wanasema mboga za kienyeji zina uwezo mkubwa wa kus
Advertisement
Advertisement





