Back to home
Maombolezi ya mafuriko: Familia zimeendelea kufika hifadhi za Nairobi
video
C
Citizen TV (Youtube)March 9, 2026
2h ago
Kwa siku ya nne, familia kadhaa zimekuwa zikifika katika hifadhi ya maiti ya city kutambua miili ya wapendwa wao walioangamia na mafuriko yaliyoshuhudiwa jijini Nairobi siku ya Ijumaa. Baadhi ya familia bado zinasubiri taarifa kuhusu waliko wapendwa wao. Ode Francis anaarifu huku
Advertisement
Advertisement





