Back to home
Familia ya Makueni yaomboleza kifo cha mtoto aliyeuawa na ndovu
video
C
Citizen TV (Youtube)June 16, 2026
1h ago
Familia moja katika eneo la Kiboko kaunti ndogo ya Makindu kaunti ya Makueni inaomboleza kifo cha mwana wao wa umri wa miezi tisa aliyeuawawa na ndovu karibu na mji wa Kiboko. Aidha , mama ya mtoto huyo na nduguye walijeruhiwa kwenye shambulio hilo.
Advertisement
Advertisement





