Back to home
Wakulima zaidi ya 700 Bura wapokea vyeti vya mashamba mapya
video
C
Citizen TV (Youtube)June 16, 2026
1h ago
Uzalishaji wa chakula katika mradi wa unyunyiziaji maji mashamba wa Bura watarajiwa kuongezeka pakubwa baada ya wakulima zaidi ya 700 kupokea vyeti vya kufanya kilimo kwenye mashamba mapya ya ukulima.
Advertisement
Advertisement





